Back to home

Viongozi wa dini kaunti ya Homa bay wataka serikali kukomeshe wahuni

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 24, 2026
2h ago
Viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa makanisa kaunti ya Homa bay washtumu vikali visa vya mara kwa mara vya vijana kutumiwa kuzua rabsha kwenye mikutano ya siasa. Kulingana nao, uhuni huo usipodhibitiwa, huenda ukalitumbukiza taifa katika lindi cha machafuko.
Advertisement