Back to home
Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa mijini kaunti ya Kajiado katika makala ya kilimo biashara
video
C
Citizen TV (Youtube)December 4, 2025
1w ago
Wafugaji wa ng'ombe wa maziwa wanaoishi mijini katika Kaunti ya Kajiado, sasa wameanza kutumia mfumo wa zero grazing ili kupunguza gharama na kuongeza uzalishaji wa maziwa. Njia hii inabadilisha namna ufugaji huo unavyotekelezwa katika eneo hilo. Kwenye makala ya leo ya Kilimo Bi
Advertisement
Advertisement



