Back to home
Familia yalilia kutokota kwa safari ya haki baada ya kupotea kwa Caroline Mokeira
video
C
Citizen TV (Youtube)December 4, 2025
2h ago
Zaidi ya wiki sita baada ya kutoweka kwa mama ya watoto watatu Caroline Mokeira akiwa na mumewe, familia yake inalalamika kuwa uchunguzi unajikokota. Familia ya Mokeira sasa ikiwataka wachunguzi huru kuingilia kati, wakisema hakuna hatua zozote zilizopigwa na idara ya polisi tang




