Back to home

Serikali yapanga kuuza 15% ya hisa za Safaricom

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 4, 2025
2mo ago
Hazina kuu ya kitaifa imetangaza mipango ya serikali kuuza asilimia 15 ya hisa kwenye kampuni ya mawasiliano ya Safaricom. Hatua hii ikitarajiwa kuipa serikali mapato ya shilingi bilioni 244.5 kutoka kwa zaidi ya hisa bilioni sita zitakazouzwa kwa kampuni ya Vodafone Kenya.

More on this topic

Government Sells 15% Safaricom Stake to Vodacom for KSh 244B - December 2025

The Kenyan government plans to sell 15% of its stake in Safaricom to Vodacom, a move involving over 6 billion shares held by the National Treasury. The sale is expected to raise KSh 244 billion, with Sh245 billion from the proceeds planned for funding new roads and dams. The transaction has caused debate, with Kiharu MP Ndindi Nyoro claiming the government's shares are undervalued. Treasury Cabinet Secretary John Mbadi refuted Nyoro's claims regarding the sale. Another story noted that CS John Mbadi explained why Sh15 billion was "surrendered" in the race for Safaricom dividends.

8 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement