Back to home

Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na Rwanda zatia saini mkataba wa kukomesha mapigano

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 5, 2025
2h ago
Rais wa Rwanda Paul Kagame na mwenzake wa jamhuri ya kidemokrasi ya Congo Felix Tshisekedi wametia saini makubaliano ya amani jijini Washington DC, Marekani, mktaba huo ukitarajiwa kusitisha mapigano katika eneo la Congo Mashariki ambapo mamilioni ya watu wameuawa