Back to home

Mifugo wameanza kufa kwa kukosa malisho na maji Kaskazini Mashariki

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 8, 2025
3h ago
Hali ya ukame katika maeneo ya Kaskazini Mashariki inaendelea kuzorota huku wakazi wakikabiliana na uhaba mkubwa wa chakula na maji. Katika Kaunti za Wajir na Mandera, mamia ya mifugo tayari imeangamia, na familia nyingi sasa zinahangaika kama anavyoarifu mwandishi wetu wa kaunt
Advertisement