Back to home

Watu wawili wauawa huku malori tisa yakiteketezwa katika eneo la Naivasha kutokana na maandamano

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 19, 2026
1h ago
Watu wawili walifariki, makumi wakiuguza majeraha ya risasi huku malori tisa yakiteketezwa katika eneo la Naivasha kutokana na maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya mafuta. Machafuko yalishuhudiwa mjini naivasha wakati waandamanaji wanaodaiwa kuwa wahuni walipovamia biashara m
Advertisement