Back to home

Wanawake 50% hujifungulia nyumbani kijijini Sombo, Tana River

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 9, 2025
1d ago
Idara ya afya ya kaunti ya Tana River imetoa takwimu zinazoonyesha kuwa asilimia hamsini ya wanawake wajawazito hujifungulia nyumbani katika kijiji cha Sombo eneo bunge la Bura. Mojawapo ya sababu zinazochangia hali hii ni mila potovu ya ukeketaji.
Advertisement