Back to home
Wakulima wa kahawa Kericho wapokea miche milioni 1.5
video
C
Citizen TV (Youtube)March 3, 2026
1h ago
Wakulima wa kahawa wametakiwa kuendeleza upanzi wa bidhaa hiyo muhimu kwa lengo la kuwainua kiuchumi na kuwawezesha kufaidika na mapato yanayotokana na kilimo hicho..
Akizungumza katika eneo bunge la Ainamoi kaunti ya Kericho, katibu katika wizara ya kilimo Paul Rono amewataka wa
Advertisement
Advertisement





