Back to home
Zaidi ya wafugaji nyuki 170 wapokea mafunzo Kwale
video
C
Citizen TV (Youtube)March 3, 2026
2h ago
Wafugaji nyuki zaidi ya 170 kutoka vijiji 24 katika eneo la Lungalunga kaunti ya Kwale wamepokea mafunzo ya ufugaji nyuki na kuzalisha asali ya kuuza ili kuwainua kiuchumi
Mafunzo hayo yalitolewa na shirika la KidsCare na Klabu ya Rotary ya Mombasa Downtown yanalenga pia kuhakiki
Advertisement
Advertisement




