Back to home
Zaidi ya wanafunzi 200 wameshiriki mashindano ya Quran Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)March 3, 2026
2h ago
Zaidi ya wanafunzi 200 wameshiriki mashindano ya kusoma Quran huko Nyali kaunti ya Mombasa.
Waandalizi wa mashindano hayo wanasema hatua hiyo ni ya kuwataka vijana kujukumika wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhan. Viongozi wa kidini kwa upande wao wametaka vijana zaidi ku
Advertisement
Advertisement




