Back to home

Mwaka wa 2025 umetajwa kuwa mbaya zaidi kwa unyanyasaji

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 11, 2025
10h ago
Mwaka huu wa 2025 umetajwa kuwa mbaya zaidi katika ukiukaji wa haki za kibinaadam. Ripoti ya shirika la IMLU ikiripoti kuwa Kenya imeorodheshwa kuwa moja ya mataifa yaliyoshuhudia ukiukaji mkubwa wa haki haswa kutoka kwa maafisa wa usalama. Watu takriban mia moja wakiuawa kiholel
Advertisement