Back to home
KICD yawahakikishia wazazi kuwa uhaba wa vitabu vya sekondari utatatuliwa hivi karibunikisunzi cha
video
C
Citizen TV (Youtube)December 14, 2025
1d ago
Taasisi ya mtaala nchini imeondolea mbali hofu kuhusu uhaba wa vitabu kabla ya mpito wa wanafunzi wanaojiunga na sekondari ya Juu. Taasisi ya KICD ikikiri kuwa vitabu bado havijachapishwa kutokana na madeni ya wachapishaji vitabu, imeshikilia kuwa serikali iko kwenye mipangilio y
Advertisement
Advertisement





