Back to home

Wakaazi wa Mukuru kwa Njenga waitaka serikali kuweka wazi mradi wa nyumba za bei nafuu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
December 15, 2025
3h ago
Baadhi ya wakazi wa Mukuru kwa Njenga wameitaka serikali kuweka wazi maeneo mahususi yaliyotengwa kwa ajili ya mradi wa nyumba za bei nafuu, wakisema ukosefu wa taarifa wazi umeibua hofu na mkanganyiko miongoni mwa wakazi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan ne
Advertisement