Back to home

Gor Mahia yaingia mkataba na Kansai Plascon Kenya kama mshirika rasmi wa rangi

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 15, 2025
17h ago
Gor Mahia Fc inatazamiwa kupokea nyongeza ya kifedha kwa kuongezwa kwa Kansai Plascon Kenya kama mshirika wa klabu. Gor mahia na Kansai Plascon wametia saini mkataba wa mwaka mmoja na thamani ya udhamini ambayo haijafichuliwa kwa umma. Mkataba huo unaifanya Kansai Plascon Kenya k
Advertisement