Back to home
Viongozi wa dini wapinga mswada wa kudhibiti maeneo ya ibada
video
C
Citizen TV (Youtube)December 15, 2025
3h ago
Viongozi wa kidini kutoka sehemu mbalimbali nchini wamepinga mswada wa kudhibiti maeneo ya ibada wakisema hatua hiyo itahujumu uhuru wa kuabudu. Wakizungumza katika kaunti za Bungoma, Kisii na Embu, viongozi hao wanataka mswada uliopendekezwa kutupiliwa mbali
Advertisement
Advertisement





