Back to home

Viongozi Mandera mashariki wapinga kambi ya kijeshi, wanataka tathmini na eneo mbadala

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 4, 2026
2h ago
Viongozi wa Mandera mashariki wanapinga kuanzishwa kwa kambi ya kijeshi kwenye ardhi ya kilomita 49 katika eneo la karo. Viongozi hao wanasema kuwa mpango huo ni tishio kwa maisha ya wafugaji wanaotumia ardhi hiyo kwa malisho ya mifugo na vyanzo vya mito. Viongozi hao wanataka ta
Advertisement