Back to home

Waziri wa fedha John Mbadi awakemea wananchi ambao wanakosoa sera za serikali

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 4, 2026
2h ago
Waziri wa fedha John Mbadi amewakemea wananchi ambao wanakosoa sera za serikali hasaa mfuko wa fedha wa National Infrastructure Fund inayonuia kuimarisha uchumi wa Kenya kufikia viwango vya mataifa kama Singapore kupitia kuuza hisa za umma. Subscribe to NTV Kenya channel for lat
Advertisement