Back to home

Baraza la wazee la Kipsigis yapanga sherehe ya utakaso kufuatia kifo cha Johana Ngeno na wengine 5

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 4, 2026
2h ago
Baraza la Wazee la Kipsigis Myoot limetangaza mipango ya kufanya sherehe ya utakaso kufuatia mkasa uliosababisha kifo cha Mbunge wa Emurua Dikir pamoja na watu wengine watano, kwa lengo la kuzuia majanga kama hayo kutokea tena. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Keny
Advertisement