Back to home
Upandikizaji mbegu kwa mifugo wazidi kutumika Kenya
video
C
Citizen TV (Youtube)March 4, 2026
2h ago
Teknolojia ya upandikizaji wa mbegu kwa mifugo ni jambo ambalo linazidi kushika kasi nchini. Kwa kutumia mbinu hiyo, Wafugaji wanaongeza maradufu uzalishaji, kupunguza gharama na kuboresha ubora wa nyama. Teknolojia hii ambayo hapo awali ilitumiwa na wafugaji wenye mifugo wengi,
Advertisement
Advertisement





