Back to home
Wadau katika sekta ya afya wasisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi
video
N
NTV Kenya (Youtube)December 23, 2025
2h ago
Hospitali binafsi zina jukumu muhimu katika mageuzi ya sekta ya afya chini ya Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), zikisaidia kupunguza msongamano katika hospitali za umma na kuongeza upatikanaji wa huduma kwa wananchi.
Advertisement
Advertisement





