Back to home
Jamii ya Abasuba yaonyesha utamaduni wake kisiwani Rusinga
video
C
Citizen TV (Youtube)December 24, 2025
2h ago
Jamii ya Abasusa inayoishi katika kisiwa cha Rusinga inaomba serikali kusaidia jamii ndogo ndogo humu nchini kuhifadhi tamaduni zao.
wakisherekea tamasha ya utamaduni wao awamu ya 14 , jamii hiyo ilipata nafasi kuonyesha mila na tamaduni zao kwa njia ya densi na vyakula.
Advertisement
Advertisement





