Back to home
Mwanamume wa miaka 41 alidungwa kisu Jericho
video
C
Citizen TV (Youtube)December 26, 2025
2h ago
Polisi eneo la Buruburu wanachunguza mauaji ya mwanamume wa miaka 41 katika mtaa wa Uhuru huko Buruburu, anayedaiwa kuuwawa kw akudungw akisu na msichana mmoja wa umri wa miaka 17. Kwa mujibu wa walioshuhudia, marahemu alifika nyumbani kwa mpwa wake, ambaye anaishi na msichana hu
Advertisement
Advertisement
