Back to home
Viongozi wa makanisa wakiwa tayari kupinga Mswada wa Mashirika ya Kidini 2024
video
C
Citizen TV (Youtube)December 31, 2025
2h ago
Saa chache kabla wakenya kuvuka mwaka mpya, viongozi wa makanisa mbalimbali chini ya mwavuli wao wa Evangelical Alliance of Kenya, sasa wanasema wakotayari kupambana na Mswada wa mashirika ya Kidini 2024 unaoandaliwa wa kudhibiti shughuli zote za makanisa nchini.
Advertisement
Advertisement





