Back to home
Bunduki 31 zasalimishwa huku jamii ya Maasai ikilalamikia oparesheni ya serikali
video
C
Citizen TV (Youtube)December 31, 2025
3h ago
Takriban bunduki 31 zimesalimishwa Transmara kufuatia operesheni inayooendelea katika maeneo ambayo yamekumbwa na mapigano. Amri ya kusalimisha bunduki hizo ilikamilika jana lakini wananchi bado wameraiwa kuendelea kuziwasilisha. Huku hayo yakijiri, jamii ya Wamaasai kwa mara ya
Advertisement
Advertisement





