Back to home
Wakaazi wa Dundori wafunga barabara ya Nakuru–Ol Kalou kupinga ukosefu wa usalama
video
C
Citizen TV (Youtube)January 2, 2026
3h ago
Wakaazi wa eneo la Dundori eneo bunge la Bahati kaunti ya Nakuru wameshiriki maandamano kwa kufunga barabara ya kutoka Nakuru kuelekea OlKalou usiku wa kuamkia leo kutokana kuongezeka kwa visa vya utovu wa usalama.
Advertisement
Advertisement




