Back to home
Wakulima walalamikia makataa ya kutovuna mazao yao ya macadamia
video
C
Citizen TV (Youtube)January 3, 2026
1d ago
Wakulima wa makadamia humu nchini wamezua wasiwasi kuhusu hasara wanayopata baada ya marufuku ya kuvuna na kuuza mazao hayo. Wakulima hao wanasema wanapata hasara huku mazao yao yakiharibikia shambani. Wakulima wa kirinyaga wanasema marufuku hayo yaliyotolewa na mamalaka ya kilim
Advertisement
Advertisement




