Back to home
Mbuga ya Amboseli: jamii zilizotetea usimamizi kurejeshwa kwa jamii zatuzwa
video
C
Citizen TV (Youtube)January 5, 2026
4d ago
Juhudi za familia tatu kutoka eneo la Lenkisima Kaunti ya Kajiado kupinga kuidhinishwa kwa uhamisho wa usimamizi wa Mbuga ya kitaifa ya Amboseli hadi kwa serikali ya kitaifa mwaka wa 1974 zimetambuliwa na kupewa tuzo baada ya Mbuga hiyo kurejeshwa kwa jamii ya maa mwaka jana.
Advertisement
Advertisement





