Back to home

Ajali yaua 9 Karai kwenye barabara kuu ya Nairobi - Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 5, 2026
1d ago
Zaidi ya watu 20 wamefariki kwenye ajali za barabarani katika siku nne za kwanza za mwaka huu wa 2026. Idadi hii ikiongezeka baada ya watu 9 kufariki kwenye ajali ya jana usiku katika eneo la Karai kwenye barabara kuu ya Nairobi - Nakuru.
Advertisement