Back to home
Tabasamu ya wakulima Mbeere baada ya kukamilia kwa ujenzi wa barabara ya South Ngariama-Ngurubaini
video
N
NTV Kenya (Youtube)January 6, 2026
1d ago
Wakulima wa mazao ya bustani katika kaunti ndogo za Mwea Mashariki na Mbeere Kusini wameanza kunufaika baada ya kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya lami ya South Ngariama–Kiumbu–Ngurubani.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement
Advertisement




