Back to home

Shule ya Gatoto yakosa kufungua kutokana na mvutano wa ardhi Mukuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 6, 2026
1d ago
Mvutano wa umiliki wa ardhi katika mtaa wa Mukuru kwa Reuben hapa nairobi umewaacha wanafunzi wa shule ya umma ya Gatoto kwenye njia panda, huku shule zikianza masomo kote nchini. Mvutano huu ukisababisha ghasia kati ya pande mbili zinazozozana kuhusu umiliki wa ardhi hii.

More on this topic

Land Dispute Halts Learning for Nearly 4,000 Students at Gatoto Primary School - January 2026

An ownership dispute at Gatoto Primary School in Mukuru kwa Reuben, Nairobi, has escalated into violence, preventing the school from reopening for the new term. The conflict has caused violent clashes between two opposing parties. This situation has left nearly 4,000 learners stranded without a clear path for their education. Following an uproar and a recent attack, government officials have affirmed that Gatoto Primary remains a public institution. NTV Kenya has reported on the dispute, which has caused chaos at the school.

4 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement