Back to home

Nairobi United waibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya KCB FC Kasarani

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 15, 2026
2h ago
Timu ya Nairobi United imeitandika KCB Fc kwa mabao 2-0 kwenye mechi ya pekee ya ligi kuu ya taifa ya kandanda katika uwanja wa Kasarani. Naibos walipata bao moja katika kila kipindi na kukwea hadi nafasi ya saba kwenye jedwali
Advertisement