Back to home

Polisi wamtafuta mwanaume mmoja aliyemiga bintiye kinyama Dandora na kumuua

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 16, 2026
3h ago
Polisi mtaani Dandora wanamtafuta mtu mmoja kwa madai ya kuhusika na mauaji ya mwanawe wa umri wa miaka 15. Inadaiwa kuwa Nelson Omeno alimtandika mwanawe alipoondoka kwenda kumtembelea mamake ambaye walikuwa wametengana. Mwili wa binti huyu baadaye ulipatikana nje ya hospitali y
Advertisement