Back to home
Wafanyibiashara walalamika kuhusu ugavi wa ardhi ya reli
video
C
Citizen TV (Youtube)January 16, 2026
3h ago
Wafanyibiashara katika mji wa Kitale wameelezea wasiwasi wao mkubwa kufuatia madai kwamba hatua ya watu wachache kutwaa shamba la Shirika la Reli katikati ya mji imefanyika bila ushirikishwaji wa umma unaotakiwa kisheria.
Advertisement
Advertisement





