Back to home
John Mark Makwatta afunga bao la ushindi katika debi yake ya Mathare United
video
C
Citizen TV (Youtube)January 16, 2026
2h ago
Mshambulizi John Mark Makwatta ameanza safari yake ya Mathare United kwa kufunga bao la pekee na la ushindi kwenye mechi ya ligi kuu ya taifa dhidi ya Ulinzi Stars. Makwata alijiunga na Mathare United mwezi huu kutoka Bandari
Advertisement
Advertisement





