Back to home

Kumbukumbu ya tembo Craig: Alikuwa na pembe zenye uzani wa takriban kilo 100

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 17, 2026
3h ago
Mabaki ya ndovu mkuu maarufu, CRAIG wa mbuga ya Amboseli kaunti ya Kajiado, yatahifadhiwa na kuonyeshwa kwa umma. Kulingana na maafisa wa KWS, mchakato wa kuhifadhi mabaki hayo kwa kemikali maalum unaendelea. Craig alikuwa miongoni mwa ndovu wakuu wachache mno waliosalia barani n
Advertisement