Back to home

Mawasiliano kuhusu Majanga

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 23, 2026
7h ago
Mkurugenzi wa kituo cha kitaifa cha mawasiliano Charles Owino, amewataka watalaamu wa mawasiliano kuzingatia mwongozo uliotolewa wa kutoa taarifa nyakati za mashambulizi ya kigaidi ili kuepuka kuleta wasiwasi miongoni mwa wakazi. Akizungumza kwenye warsha ya mawasiliano mjini Gar
Advertisement