Back to home

Maafisa wa NACADA wanasa washukiwa watano wanaouza pombe haramu Mombasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 30, 2026
22h ago
Watu watano wamekamatwa na mamlaka ya kupambana na pombe haramu na mihadarati NACADA eneo la Kongwea Nyali kaunti ya Mombasa.
Advertisement