Back to home

Vijana walalamika kuwa wanahangaishwa na manispaa ya Mtwapa

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 30, 2026
2d ago
Mgogoro unatokota baina ya kundi moja la vijana mjini Mtwapa kaunti ya Kilifi na usimamizi wa manispaa ya eneo hilo kutokana na kile vijana hao wanachodai ni kuhangaishwa.
Advertisement