Back to home

KVDA kuanzisha mradi wa kilimo mpakani Pokot-Turkana

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 30, 2026
2d ago
Serikali kupitia halmashauri ya maendeleo ya bonde la Kerio KVDA, inaendeleza hamasa kati ya jamii ya Pokot na Turkana wanaoishi mpakani mwa kaunti hiyo, kuhusu lengo la serikali kutaka kutwaa ardhi ya ekari elfu moja mpakani ili kufanyia kilimo na kutokomeza wizi wa mifugo.
Advertisement