Back to home

Vijana 15 wa mitaani wafariki Nairobi, wenzao wajumuiika kwenye mazishi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 1, 2026
10h ago
Vijana wa mitaani wamekusanyika pamoja hapa Nairobi, baada ya mazishi ya wenzao waliofariki kwa njia tofauti wakiwa mitaani. Vijana saba tayari wamezikwa huku wengine bado wakisubiri kuandaliwa mazishi. Vijana wapatao 15 wameuawa katika hali tofauti katika siku za hivi karibuni,
Advertisement