Back to home
Kanisa la witima latakaswa kufuatia uvamizi, Askofu Muriithi ataka uchunguzi kuharakishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 1, 2026
2d ago
Hafla maalum imeandaliwa katika kanisa la ACK Witima eneo la Othaya, kaunti ya Nyeri imeandaliwa kwa kile viongozi wa kanisa hilo wanasema ni kulitakasa, kufuatia uvamizi wa mwezi jana. Hafla ikifanywa ili kuhakikisha kuwa matukio ya kuvamiwa kwa waumini kanisani hayatoshuhudiwa
Advertisement
Advertisement




