Back to home

Ruto aonya dhidi ya uvamizi wa makanisa, wasiasa watakaotumia wahuni wataadhibiwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 1, 2026
2h ago
Rais William Ruto amewaamrisha maafisa wa polisi kuhakikisha kuwa wametoa usalama wa kutosha kwa makanisa nchini na sehemu zingine za kuabudu.
Advertisement