Back to home
Ruto aonya dhidi ya uvamizi wa makanisa, wasiasa watakaotumia wahuni wataadhibiwa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 1, 2026
2h ago
Rais William Ruto amewaamrisha maafisa wa polisi kuhakikisha kuwa wametoa usalama wa kutosha kwa makanisa nchini na sehemu zingine za kuabudu.
Advertisement
Advertisement




