Back to home

Wanawake U20 wa Taifa waimarisha maandalizi ya kufuzu kombe la dunia dhidi ya Tanzania

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 3, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya kandanda ya wanawake ya wachezaji wa chini ya miaka 20 imeimarisha maandalizi ya mechi ya kufuzu kombe la dunia dhidi ya tanzania itakayochezwa katika uwanja wa ulinzi jumamosi alasiri.
Advertisement