Back to home
Nairobi United wajitayarisha kumenyana na APS Bomet, siku mbili baada ya kufungwa Tanzania
video
C
Citizen TV (Youtube)February 3, 2026
2h ago
Nairobi united hawana wakati wa kupumzika wanapojiandaa kumenyana na APS Bomet kwenye mechi ya ligi kuu ya Kenya, siku mbili baada ya kuwasili kutoka tanzania ambapo walipoteza 1-0 dhidi ya azam fc katika mechi ya kombe la mashirikisho la CAF
Advertisement
Advertisement




