Back to home
Watoto 200 wamerejeshwa shuleni huko Lonyangalani
video
C
Citizen TV (Youtube)February 4, 2026
9h ago
Wafugaji wanaoishi katika eneo la Loyangalani kaunti ya Marsabit, na ambao wanawaoza watoto wao wa kike mapema na kutowapeleka shuleni, wameonywa vikali. Haya yanajiri huku watoto 200 wakirejeshwa shuleni kufuatia kampeni iliyoendeshwa katika eneo hilo.
Advertisement
Advertisement

