Back to home

Wazazi watakiwa kuwapeleka watoto wote shuleni Kachonge

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 4, 2026
7h ago
Onyo kali imetolewa kwa wazazi katika eneo bunge la Kabuchai kaunti ya Bungoma kuwa watachukuliwa hatua kali za kisheria iwapo hawatatii agizo la serikali la kuhakikisha kila mwanafunzi ni sharti ahudhurie masomo. Akizungumza kwenye mkutano wa agm katika shule ya msingi ya Sichei
Advertisement