Back to home
Operesheni mpya ya kiusalama kuanza Isiolo
video
C
Citizen TV (Youtube)February 4, 2026
7h ago
Serikali ilitangaza oparesheni mpya ya kiusalama ya kukabiliana na wezi wa mifugo na majangili katika kaunti za Isiolo, Samburu na Meru. Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen, alisema oparesheni hiyo ya pamoja itahusisha wanajeshi wa KDF na shirika la kitaifa la ujasusi (NIS). Mur
Advertisement
Advertisement




