Back to home

Ukatili wa polisi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 4, 2026
9h ago
Maswali yameendelea kuibuka kuhusu vifo vya watu wawili James Muraga Maina mwenye miaka 29 na Daniel Nudhu Njoki wa miaka 45, waliopatikana wameuawa mtaani Kahawa West. Inadaiwa kuwa mhusika mkuu wa vifo vya wawili hao ni afisa wa polisi wa utawala wa ngazi ya sajenti. Kama anavy
Advertisement