Back to home
Polisi walalamikia ukosefu wa maji na umeme vituoni
video
C
Citizen TV (Youtube)July 3, 2026
2h ago
Mtazamaji, Idara ya Polisi leo inawekwa kwenye mizani baada ya baadhi ya maafisa wa polisi kulalamikia ukosefu wa umeme na uhaba wa maji katika vituo vya polisi jijini Nairobi kwa miezi kadhaa. Maafisa hao wanalazimika kuishi gizani huku wakikosa maji. Hali hiyo, inayodaiwa kusab
Advertisement
Advertisement


